Thursday, April 29, 2021

FORM 1, FORM 2, FORM 3 & FORM 4

  Merinyo Inc.       Thursday, April 29, 2021




Kiswahili ni Lugha ya kibantu; inatumika kama lugha ya taifa au rasmi katika baadhi ya mataifa ya Afrika Mashariki na Kati kama vile Tanzania, DRC, Kenya, Burundi, Rwanda na Uganda. Hadi hivi sasa lugha ya Kiswahili inakadiriwa kuzungumzwa na watu zaidi ya milioni 60 duniani kote. Mataifa mengine ya Afrika yanayozungumza Kiswahili ni pamoja na Comoro, Zambia, Malawi na Msumbiji. Kiswahili pia kinazungumzwa katika baadhi ya nchi za Kiarabu kama vile Yemen, UAE n.k

Bonyeza vitufe hapo chini ili uweze kusoma bure.
...
logoblog

Thanks for reading FORM 1, FORM 2, FORM 3 & FORM 4

Previous
« Prev Post